Kabati letu linahitaji vikombe vingi sana msishangae tukatangaza ubingwa mapema kabisaa kabla ya mengine yote.
Tunawatakia kila lakheri wote mnaoshiriki ligi kuu Tanzania bara yaani #vpl maana baada ya msimu kuisha tulienda kujiandaa na kufanya maandalizi ya kujipanga na msimu 2021-2022 tukutane uwanjani.
#simbanguvumija
0 Comments