pichani Ni Hitimana kulia kushoto Ni Pablo wakiteta Jambo kuhusiana na clab yao ilibkufikia malengo n mashert waliyopewa na viongozi wao.

Simba tunahitaji ubingwa na kusogea kwenye mashindano makubwa ingawa tulijaribu na tukafika sehem lkn kwa Sasa tunaimani tutafanya vizuri zaidi ya tuliyoyafanya vipindi vilivyopita aliyasema kocha mkuu pabro