Amesema kikosi kilijiandaa salama kupambana kwenye MECHI yetu dhidi ya watani wetu wa jadi yanga lakini tulitoka sare ya bila kufungana ni jambo la kumshukuru mungu...
Sasa nguvu zetu tunazielekeza kwenye mchezo unaofwata dhidi ya Namungo Fc huko Mtwara
#simbanguvumoja
0 Comments