#simba sc nguvu moja.

Hi ndio list ya waliobeba ubingwa tangu kuanzishwa kwa Kinyang'anyiro cha kikombe hicho. SIMBA SC  nimechukuwa misimu mitatu(3) 

Tangu kuanzishwa kwa michuano hiyo mnamo mwaka 2015-2016 walichukuwa YANGA SC kwa msimu wa kwanza kabisa na hawakuweza kuchukuwa tena.

2016-2017 SIMBA SC  walichukuwa ubingwa wakiwanyang'anya kikombe hicho YANGA SC  kwa msimu wa pili na yanga wakakubali.

2017-2018 MTIBWA SUKARI walichukuwa kikombe hicho kwa msimu wa tatu wakiwanyang'anya  SIMBA SC 

2018-2019 AZAM FOOTBALL CLUB Waliwanyang'anya SIMBA SC kwa mara ya kwanza kabisa na hawakuchukuwa tena.

2019-2020 SIMBA SC  waliwanyang'anya AZAM FC  na SIMBA SC wakatawazwa mabingwa kwa msimu huo.

2020-2021 SIMBA SC walitawazwa kuwa mabingwa kwa misimu mitatu mfululizo na bado wameshikilia taji hilo kwa kishindo na nguvu kubwa.

#SIMBA NGUVU MOJA