Hii ni juhudi kuu kama uhamasishaji wa kuwapa motisha wachezaji pamoja na uongozi wa club.

Wadhamini wa SIMBA SC wametoa zawadi ya fedha taslim nikiwazungumzia SPORTS PESA waletoa kitita cha MILIONI MIA MOJA kama pongezi  kwa club ya simba.

pichani ni kulia ni GADIEL MICHAEL MMBAGA. beki wa kushoto. na Kushoto ni BENNO KAKOLANYA.

#SIMBA NGUVU MOJA