Tunawaheshimu wapinzani wetu na tunaamini mchezo utakuwa mzuri na wenyewe heshima kubwa kwetu na mashabiki wa pande zote mbili nikizungumzia SIMBA SC Vs YANGA SC Tutaingia uwanjani kama mabingwa misimu 4 mfululizo na kuilinda heshima yetu sisi kama mabingwa.
Tumejiandaa vema na hatuna majeruhi hata mmoja wote tuko salama tayari kuwakabili wapinzani wetu.
Tunaomba mjitokeze kwa wingi ili kuipa support timu yetu ili tuweze kupata mafanikio.
#SIMBA NGUVU MOJA
0 Comments