Habari mwanamichezo na shabiki wa simba tarehe 25 ni siku muhimu sana kwetu na wapenzi wa club ya SIMBA. Tunakila sababu za kuutangaza ubingwa wa FA maana sababu tunazo nguvu tunazo sifa tunazo.

Mchezo huu ndio utakaoamua nani bingwa. tumejipanga vizuri na hatuna majeruhi hata mmoja tupo tayari kuwavaa wapinzani kwa uhakika na ushindi mkubwa wenye kishindo kikubwa tunaomba support yenu kubwa ili kufanikisha mchezo huu muhimu.

Ikumbukwe hatukupata matokeo mazuri kwenye mchezo wetu wa mwisho dhidi ya wapinzani wetu SIMBA SC VS YANGA SC  tulifungwa goli moja lililofungwa na mshambuliaji wao ZAWAD MAUYA  licha ya matokeo hayo haitupi preasure kwasababu ilikuwa ndani ya mchezo na mchezo unamatokeo tofauti tunakiri tulifungwa na nimoja ya mchezo

Tunawaahidi kufanya vizuri na kupata matokeo mazuri ktk mchezo huuu

#SIMBA NGUVU MOJA